Hebu tujikumbushie matukio ya kwaya ya vijana Mwaka 2013..
Friday, 3 February 2017
Wednesday, 1 February 2017
TANZIA TANZIA TANZIA - KKKT USHARIKA WA KURASINI
Uongozi wa Umoja Wa Vijana Usharika Wa Kurasini unasikitika kuwataarifu Vijana na Washarika wote wa Kurasini kuondokewa kwa Aliekua Mzee wa Kanisa na Katibu Msaidizi wa Balaza La wazee Mzee Akyoo.
Mzee wetu alitutoka siku ya Jumamosi Tar 28 Jan 2017 Saa 3 Asubuhi katika Hospitali ya Taifa- Muhimbili.
Msiba upo nyumbani kwake Polisi barrack Block C.
Ratiba Ya Mazishi tutazidi kuwataarifu.
Bwana Ametoa Na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe.
Amen
Subscribe to:
Comments (Atom)


