Tuesday, 10 March 2015

Bonanza la Vijana KKKT kurasini Mjini Bagamoyo lafana sana

Bwana Yesu Asifiwe.
Uongozi wa umoja wa vijana usharika wa kurasini unapenda kumshukuru Mchungaji Kiongozi, baraza la wazee na vijana wote mlioshiriki na kuweza kufanikisha safari hii ambayo ilituje kimwili na kiroho.

Ni Imani yetu kua vijana tulioweza shiriki tulijifunza kitu kipya na pia kuweza kupata marafiki wapya.

Mungu Awazidishie moyo wa kujitoa.



























Mashindano ya Biblia Jimbo la Kusini

Uongozi wa Umoja wa vijana jimbo la kusini

Taarifa
Tunapenda kuwataarifu kua vijana 8 wa umoja wa vijana usharika wa kurasini walituwakilisha katika mashindano ya biblia kwa jimbo letu la kusini

Matokeo

Vijana wenzetu walijitahidi sana na tunawapongeza sana kwa kuweza kuingia kwenye kumi bora katika ya vikundi 18 vilivyoshiriki.

Mungu awabariki sana na tuendelee kujitoa hivi hivi kwa wakati huu ambapo tunaingia kwenye mazoezi ya mashindano ya Uimbaji.