Uongozi wa Umoja wa vijana jimbo la kusini
Taarifa
Tunapenda kuwataarifu kua vijana 8 wa umoja wa vijana usharika wa kurasini walituwakilisha katika mashindano ya biblia kwa jimbo letu la kusini
Matokeo
Vijana wenzetu walijitahidi sana na tunawapongeza sana kwa kuweza kuingia kwenye kumi bora katika ya vikundi 18 vilivyoshiriki.
Mungu awabariki sana na tuendelee kujitoa hivi hivi kwa wakati huu ambapo tunaingia kwenye mazoezi ya mashindano ya Uimbaji.
No comments:
Post a Comment